Uislamu nchini Kamerun

Ikulu la sultani wa Wabamun katika Foumban, Mjini Magharibi.
Uislamu kwa nchi

Waislamu wapo asilimia 31 kati ya milioni 21 ya wakazi wote wa nchini Cameroon.[1]

Makadirio yanaonesha asilimia 27 wanajitambua kama wa dhehebu la Sunni, 12% Ahmadia na 3% Shia wakati kundi kubwa lililobaki halijihusishi na kundi lolote miongoni mwa hayo yaliyotajwa.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. * "Background Note: Cameroon". January 2008. United States Department of State. Accessed 21 February 2008.
  2. "The World's Muslims: Unity and Diversity" (PDF). Pew Forum on Religious & Public life. Agosti 9, 2012. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2012-10-24. Iliwekwa mnamo Agosti 14, 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)