Uislamu nchini Liberia

Msikiti mjini Voinjama.
Uislamu kwa nchi

Uislamu nchini Liberia unakadiriwa kufuatwa na watu karibia asilimia 12.2 ya idadi ya wakazi wote wa nchini humo.[1]

Sehemu kubwa ya Waislamu wa Liberia ni wale wanaofuata mafundisho ya Maliki dhehebu la Sunni, kukiwa na idadi kiasi ya Shia na Ahmadiyya.[2] Kundi kubwa la Waislamu nchini humo ni la kabila la Wavai na Mandingo lakini pia Wagbandi, Kpelle na jamii zingine ndogondogo.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "International Religious Freedom Report 2010: Liberia". United States Department of State. Novemba 17, 2010. Iliwekwa mnamo Julai 22, 2011.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "The World's Muslims: Unity and Diversity" (PDF). Pew Forum on Religious & Public life. Agosti 9, 2012. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2012-10-24. Iliwekwa mnamo Agosti 14, 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Larkin, Barbara (2001). International Religious Freedom (2000): Report to Congress by the Department of State. uk. 46.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]