Mto Kilombero

Mto Kilombero (au mto Ulanga) ni mto wa Tanzania mashariki, unaotiririka hadi kuungana na mto Luwegu na kuunda nao mto Rufiji ambao unaishia katika Bahari Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]