Mto Lungonya

Mto Lungonya ni kati ya mito ya mkoa wa Pwani (Tanzania mashariki), unaotiririka hadi kuingia mto Rufiji ambao unaishia katika Bahari Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]