Equatoria ya Kati Ramani ya Equatoria ya Kati. Equatoria ya Kati ilikuwa jimbo la kusini mwa Sudan ambalo lilitwa "Bahr al Jabal" hadi mwaka 2006. Kwa sasa ni jimbo la Sudan Kusini. Mji mkuu ni Juba. vde Majimbo ya Sudan KusiniBahr el-GhazalMajimbo Bahr al-Ghazal Magharibi Bahr al-Ghazal Kaskazini Warrap Maziwa Maeneo ya pekee Abyei EquatoriaMajimbo Equatoria Magharibi Equatoria Mashariki Equatoria ya Kati Greater Upper NileMajimbo Umoja Nile ya Juu Jonglei Maeneo ya pekee Eneo la Pibor Eneo la Ruweng