Bubalus
Bubalus | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Nyati-maji wa kufugwa katika Uthai (Bubalus bubalis) | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Spishi 6:
|
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bubalus ni jenasi katika nusufamilia Bovinae. Spishi zake zinafanana na nyati-maji. Jenasi hii ina spishi sita ndani yake:
- B. arnee (Nyati-maji wa mwitu)
- B. bubalis (Nyati-maji)
- B. depressicornis (Anoa)
- B. mephistopheles (Nyati-maji pembe-fupi)
- B. mindorensis (Tamarau)
- B. quarlesi (Anoa-milima)
Picha[hariri | hariri chanzo]
- Kundi la nyati-maji wa mwitu
- Nyati-maji wa kike na ndama
- Anoa
- Anoa-milima
- Tamarau
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.