2013
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 2009 | 2010 | 2011 | 2012 | 2013 | 2014 | 2015 | 2016 | 2017 | ► | ►►
Jan. | Feb. | Mac. | Apr. | Mei | Jun. | Jul. | Ago. | Sep. | Okt. | Nov. | Des.
Makala hii inahusu mwaka 2013 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 14 Januari - Conrad Bain, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 7 Februari - Amedeus Msarikie, askofu Mkatoliki kutoka Tanzania
- 28 Machi - Richard Griffiths, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 4 Aprili - Roger Ebert, mwandishi wa habari kutoka Marekani
- 10 Aprili - Robert G. Edwards, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2010
- 11 Aprili - Jonathan Winters, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 28 Mei - Mangwair, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 19 Juni - James Gandolfini, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 12 Julai - Pran, mwigizaji wa filamu kutoka Uhindi
- 30 Agosti - Seamus Heaney, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1995
- 12 Septemba - Otto Sander, mwigizaji wa filamu kutoka Ujerumani
- 12 Oktoba - Oscar Hijuelos, mwandishi kutoka Marekani
- 20 Oktoba - Julius Nyaisangah, mtangazaji wa redio kutoka Tanzania
- 24 Oktoba - Raymond Mwanyika, askofu Mkatoliki kutoka Tanzania
- 5 Desemba - Nelson Mandela, rais wa Afrika Kusini, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1993
- 14 Desemba - Peter O'Toole, mwigizaji wa filamu kutoka Eire