1983
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 1979 | 1980 | 1981 | 1982 | 1983 | 1984 | 1985 | 1986 | 1987 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1983 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 19 Septemba - Nchi ya Saint Kitts na Nevis inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 26 Januari - Gorilla Zoe, mwanamuziki kutoka Marekani
- 19 Februari - Miriam Odemba, mwanamitindo kutoka Tanzania
- 10 Machi - Lashinda Demus, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Marekani
- 22 Mei - Cynthia Muvirimi, mwanamitindo kutoka Zimbabwe
- 20 Juni - Sylvia Bahame, mrembo wa Tanzania, mwaka wa 2003
- 24 Juni - John Lloyd Cruz, mwigizaji filamu kutoka Ufilipino
- 27 Julai - Blandina Changula, mwigizaji filamu nchini Tanzania
- 20 Agosti - Andrew Garfield, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 9 Septemba - Kristine Hermosa, mwigizaji filamu kutoka Ufilipino
- 21 Septemba - Anna Favella, mwigizaji wa filamu kutoka Italia
- 14 Novemba - Lil Boosie, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 25 Februari - Tennessee Williams, mwandishi kutoka Marekani
- 9 Machi - Ulf von Euler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
- 17 Machi - Haldan Hartline, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
- 22 Mei - Albert Claude, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1974
- 25 Mei - Mfalme Idris I wa Libya
- 10 Septemba - Felix Bloch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1952
- 17 Oktoba - Raymond Aaron, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 1 Novemba - Jan Matejko, mchoraji kutoka Poland