1913
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | ►
◄◄ | ◄ | 1909 | 1910 | 1911 | 1912 | 1913 | 1914 | 1915 | 1916 | 1917 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1913 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 9 Januari - Richard Nixon, Rais wa Marekani (1969-74)
- 4 Februari - Rosa Parks, mwanaharakati dhidi ya ubaguzi wa rangi
- 3 Aprili - Per Borten, mwanasiasa wa Norwei
- 3 Mei - William Inge, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1954
- 3 Juni - Jack Cope, mwandishi wa Afrika Kusini
- 25 Juni - Aime Cesaire, mwandishi kutoka Martinique
- 12 Julai - Willis Lamb, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1955
- 14 Julai - Gerald Ford, Rais wa Marekani (1974-77)
- 10 Agosti - Wolfgang Paul, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa [[1989]
- 20 Agosti - Roger Sperry, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1981
- 4 Septemba - Stanford Moore, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1972
- 10 Oktoba - Claude Simon, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1985
- 25 Oktoba - Klaus Barbie, mwanajeshi wa SS ya Adolf Hitler
- 7 Novemba - Albert Camus, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1957
- 10 Novemba - Karl Shapiro, mshairi kutoka Marekani
- 18 Desemba - Willy Brandt, Chansela wa Ujerumani (1969-1974)
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 29 Julai - Tobias Asser, mwanasheria Mholanzi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1911
- 12 Desemba - Menelik II, mfalme mkuu wa Uhabeshi