1898
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | ►
◄◄ | ◄ | 1894 | 1895 | 1896 | 1897 | 1898 | 1899 | 1900 | 1901 | 1902 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1898 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
kati ya Machi na Mei - Hastings Kamuzu Banda, rais wa Malawi (1966-1994)
- 26 Aprili - Vicente Aleixandre (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1977)
- 22 Julai - Stephen Vincent Benét, mwandishi kutoka Marekani
- 29 Julai - Isidor Rabi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1944
- 20 Agosti - Vilhelm Moberg, mwandishi kutoka Uswidi
- 24 Agosti - Albert Claude (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1974)
- 24 Septemba - Howard Walter Florey (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1945)
- 26 Septemba - George Gershwin (mtungaji wa muziki Mmarekani)
- 26 Novemba - Karl Ziegler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1963)
bila tarehe
- Albert Lutuli, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1960
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 20 Januari - Ivan Shishkin, mchoraji wa Urusi
- 30 Julai - Otto von Bismarck, Chansella wa Dola la Ujerumani (1862-1890)