1804
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1770 | Miaka ya 1780 | Miaka ya 1790 | Miaka ya 1800 | Miaka ya 1810 | Miaka ya 1820 | Miaka ya 1830 | ►
◄◄ | ◄ | 1800 | 1801 | 1802 | 1803 | 1804 | 1805 | 1806 | 1807 | 1808 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1804 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 1 Januari - Haiti inatangaza uhuru wake kutoka Ufaransa kama "Jamhuri ya watu weusi" ya kwanza na taifa huru la pili katika Amerika (baada ya Marekani)
- 2 Desemba - Napoleon Bonaparte anajiwekea taji la "Kaisari wa Wafaransa"
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 1 Juni - Mikhail Glinka, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 23 Novemba - Franklin Pierce, Rais wa Marekani (1853-1857)
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 12 Februari - Immanuel Kant, mwanafalsafa kutoka Prussia