1773
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 17 | Karne ya 18 | Karne ya 19 | ►
◄ | Miaka ya 1740 | Miaka ya 1750 | Miaka ya 1760 | Miaka ya 1770 | Miaka ya 1780 | Miaka ya 1790 | Miaka ya 1800 | ►
◄◄ | ◄ | 1769 | 1770 | 1771 | 1772 | 1773 | 1774 | 1775 | 1776 | 1777 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1773 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 12 Januari - Jumba la makumbusho (museum) la kwanza la Marekani lilifumguliwa hadharani katika mji wa Charleston, jimbo la South Carolina.
- 17 Januari - Rubani James Cook ni Mzungu wa kwanza kuvuka mstari wa Antaktiki.
- 16 Desemba - Wakoloni katika mji wa Boston kule Marekani wanavamia meli na kusababisha Sherehe ya Chai ya Boston (Boston Tea Party).
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 9 Februari - William Henry Harrison, Rais wa Marekani (1841)